Breaking News

Your Ad Spot

Jan 24, 2011

YANGA YATIA PINGU 2-0 POLISI DODOMA FC JIONI HII

MSHAMBULIAJI wa Yanga Davies Mwape (kushoto), akichuana na beki wa Polisi Dodoma FC Nahoda Haji, timu hizo zilipomenyana  leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Vdacom. Yanga ilishinda bao 2-0
"Nimechinja", Mwape akishangilia baada ya kupachika bao la pili langoni mwa Polisi 
==============
MINZIRO AANZA KAZI YA UKOCHA MSAIDIZI YANGA
Minziro akiwa kwenye benchi la Yanga, leo timu hiyo ilipomenyana na Polisi. Kulia ni Kocha Mkuu Kostadic Papic.

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages