MSHAMBULIAJI wa Yanga Davies Mwape (kushoto), akichuana na beki wa Polisi Dodoma FC Nahoda Haji, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Vdacom. Yanga ilishinda bao 2-0
"Nimechinja", Mwape akishangilia baada ya kupachika bao la pili langoni mwa Polisi
==============
MINZIRO AANZA KAZI YA UKOCHA MSAIDIZI YANGA
Minziro akiwa kwenye benchi la Yanga, leo timu hiyo ilipomenyana na Polisi. Kulia ni Kocha Mkuu Kostadic Papic.
Msibweteke na ushindi huo, kazi bado pevu
ReplyDelete