Breaking News

Your Ad Spot

Feb 25, 2011

BARAZA LA PILI LA MAJADILIANO YA PAMOJA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, akifungua Baraza la Pili la Majadiliano ya pamoja katika Utumishi wa Umma, katika ukumbi wa wizara hiyo, leo. Wengine kutoka kushoto ni Wajumbe wa Baraza hilo, Hamis Dihenga, Geonge Yambesi na Mathias Kabunduguru. 
Group photo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages