Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto, akieleza yalipofikia maandalizi ya Bonanza hilo, leo, kwenye Ofisi za Kampuni ya Bia Tanzaania (TBL), Ilala, mjini Dar es Salaam. Kushoto ni Makamu Mweneyekiti wa TASWA, Maulidi Kitenge na Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, Amir Mhando na wapili kulia ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano ya Umma wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi, ambaye alithibitisha TBL kudhamini bonanza hilo.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
This is a fantastic view of the situation, I don’t think I’ve quite seen it from that perspective before.
ReplyDelete