Breaking News

Your Ad Spot

Feb 14, 2011

SIMBA YATAKATA, YAIBUGIZA COMORO 4-2

Sasa kukwana na TP Mazembe ya Congo DRC
Mshambuliaji wa Simba, Rashid Gumbo, akiumiliki mpira dhidi ya mchezaji wa Elan Mitsuodje ya Comoro, Ali Ahmed Ali, timu hizo zilipomenyana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya  Ligi ya Mabingwa Afrika. ambapo Simba ilifdabikiwa kuilza Comoro mabao 4-2.
  Kufuuatia matokeo hayo Simba imefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano hiyo, Ambapo itapambana na TP Mazembe, ya Jamhri ya Kidemokrasi ya Congo, mwezi Machi mwaka huu mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages