Breaking News

Your Ad Spot

Feb 25, 2011

HII NAYO NI HUDUMA NYINGINE YA TTCL?

Baada ya husimduma  za 'Rafiki Simu ya Kadi'  ya Shirika la Simu Tanzanaaia (TTCL) kufa, baboksi ya huduma hiyo sasa yamebaki yakitumiwa na wateja wa aina nyingine, kama Chachandudaily Blog, ilivyomshuhdia mlinzi akipata huduma hiyo mpya kwenye moja ya boksi lililopo nje ya hospitali ya Aljumaa, Kariakoo, jijinni Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages