Breaking News

Your Ad Spot

Feb 23, 2011

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe akifafanua jambo wakati wa semina ya wateule watakaoshiriki kinyang'anyiro hicho. Zifuatazo chini ni picha za wasanii wakiwa katika semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Paradise, ndani ya jengo refu la Benjamin William Mkapa, katikati ya jiji la Dar es Salaam. (Picha zote na Chachandudaily.blogspot.com)










No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages