Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2011

WASANII WA FILAMU WALALA 2-0 KWA WENZAO WA BONGO FLEVA

MCHEZAJI wa timu ya Wasanii wa filamu, John Mhuvile 'Joti'  wa kundi la Komendi Orijino (kushoto) akichuana na mcezaji wa timu ya wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, Producer, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, katika pambano la hisani kwa ajili ya walioathirika na milipuko ya mabomu ya Gongo la Mboto, wiki iliyopita. Bongo Fleva wameibuka na ushindi wa mabao 2-0

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages