Breaking News

Your Ad Spot

Mar 22, 2011

JK ATEMBELEA WIZARA YA UTUMISHI WA UMMA

Msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukiingia katika eneo la Ofisi ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, leo 
Rais Kikwete akimsalimia Katibu Mkuu wa wizara hiyo, George Yambesi. Katikati ni Waziri wa wizara hiyo, Hawa Ghasia na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick 
Rais Kikwete akimhoji jambo na kutaka ufafanuzi wa kina kwa Waziri Ghasia (aliyesimama) , wakati akipokea taarifa kutoka kwa waziri huyo. Kushoto ni Yembesi. 
Wafanyakazi wa wizara hiyo wakimsalimia kwa hamu, Rais Kikwete kabla ya kuondoka wizarani hapo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages