Breaking News

Your Ad Spot

Mar 17, 2011

VIONGOZI WA RIADHA WAKUTANA NA DK. NCHIMBI LEO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Riadha Tanzania, Suleiman Nyambui, akisisitiza hoja zake, kuhsu kuendelea mchezo huo hapa nchini, wakati viongozi wa chama hicho walipozungumza na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi, katika ukumbi wa Idara ya habari wa Idara ya habari, Maelezo, Dar es Salaam, leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages