Breaking News

Your Ad Spot

Mar 18, 2011

MAANDALIZI MECHI YA WACHEZAJI WA ZAMANI YANGA NA SIMBA YAIVA; WAKABIDHIWA VIFAA LEO

OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania( TFF), Boniface Wambura (kushoto) akimkabidhi jezi ofisa habari wa timu ya Simba, Cliford Ndimbo kwa ajili ya mechi ya wachezaji wa zamani wa timu hiyo na Yanga itakayochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kesho. Makabidhiano hayo yalifanyika leo kwenye Ofisi za TFF, Dar es Salaam. 

1 comment:

  1. As a Newbie, I am always searching online for articles that can help me. Thank you Wow! Thank you! I always wanted to write in my site something like that. Can I take part of your post to my blog?

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages