Breaking News

Your Ad Spot

Mar 23, 2011

MSIBA FIVE STARS: TIZO MGUNDA AZIKWA MKURANGA LEO

JENEZA lenye mwili  wa aliyekuwa msanii wa Five Stars,Tizo Mgunda likiwa tayari kwa ajili ya kuswaliwa mwili huo, nyumbani kwao, Tandika , Dar es Salaam, leo kabla  kuzikwa katika makaburi ya Mkamba, Mkuranga, mkoani Pwani. Mgunda alifariki juzi na wenzake 12, katika ajali ya basi dogo mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages