Breaking News

Your Ad Spot

Mar 23, 2011

SEMINA YA TCRA KIBAHA; NI KWA AJILI YA WATUMIAJI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO


SHEIKH wa Wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani, kutoka Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Husein Madenge, akijiandikisha katika daftari la mahudhurio, katika semina ya watumiaji huduma za mawasiliano, iliyofanyika leo katika Hoteli ya Njuweni mjini Kibaha. Kushoto ni Karani wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanhzania (TCRA) inayoratibu semina hiyo, Rebecca Mawolle.
Katibu Tawala wa mkoa wa Pwani, Bernard Nzyungu akifungua semina hiyo, kwenye hoteli ya Njuweni, Kibaha mkoa wa Pwani.
OFISA Mwandamizi masuala ya watumia huduma za mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), Thadeo Ringo, akimkabidhi zawadi ya simu aina ya Nokia, mmoja wa wshiriki wa semina ya watumiaji wa huduma za mawasiliano, Selina Wilson, baada ya kujibu swali vizuri, katika semina hiyo, iliyofanyika leo katika hoteli ya Njuweni, Kibaha mkoa wa Pwani.
Wakati Selina akiruka na Nokia, mwingine akajipatia Nokia 'Blackbarry'
washiriki

Washiriki
Yussuf Said Mfinanga, almaarufu, Mzee Njuweni (kushoto), akimsalimia Sheikh wa wilaya ya Kibaha mjini nje ya ukumbi wa semina hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages