Breaking News

Your Ad Spot

Mar 23, 2011

DK SHEIN AKABIDHIWA CHETI CHA KUSHINDA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU ULIOPITA

RAIS  wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni,akipokea hati ya uthibitisho ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar , na Cheti cha ushiriki  mgombea urais huo, katika uchaguzi mkuu uliopita, kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi  Zanzibar, Said Bakari Jecha. Ikulu mjini Zanzibar, leo.(Picha na Ikuklu, Zanzibar).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages