Breaking News

Your Ad Spot

Mar 23, 2011

JK AZURU WIZARA YA UJENZI LEO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi muda mfupi baada ya kuwasili katika makao makuu ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ambapo alizungumza na uongozi pamoja na wafanyakazi .
Rais Kikwete akiwaaga wafanyakazi hao baada ya kuzungumza na viongozi kwenye wizara hiyo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages