Breaking News

Your Ad Spot

Mar 26, 2011

STARS YAILAZA AFRIKA YA KATI 2-1


Timu ya Taifa, Taifa, Stars imefanikiwa kuifunga Afrika ya Kati mabao 2-1, katika Mechi ya awali kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani, iliyopigwa leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Nitakufunga kesho..., inaelekea ndivyo Kocha wa Stars Jan Poulsen alivyokuwa akimwambia kocha wa Afrika ya Kati, wakati wakiwaambia waandishi wa habari maandalizi ya mechi hiyo jana, kwenye ofisi za TFF mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages