RAIA wanne wa kigeni, Dennis Okechukwu na Paul Obi wote wa Nigeria, Stani Hycenth wa Afrika Kusini na Shoaib Muhammad Ayaz kutoka Pakistan wakitoka kusomewa mashitaka ya kula njama na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya sh. bilioni 2.8, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam, leo. (Picha na Chachandudaily.blogspot.com).
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Hivi kwanini dunia hailichukulii hili kama janga la dunia na kuhakikisha wanapiga vita viwanda vyote vinavyotengeneza na kugundua kifaa kinachoweza kugundua wapi kiwanda kipi na nani kabeba!
ReplyDelete