Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik kuhusu Masuala ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na changamoto za Muungano. Mazungumzo hayo yanefanyika leo Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam.(Picha na Ali Meja)
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269