Breaking News

Your Ad Spot

Mar 24, 2011

WAZIRI SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA NORWAY

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik kuhusu Masuala ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na changamoto za Muungano. Mazungumzo hayo yanefanyika leo Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam.(Picha na Ali Meja)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages