Breaking News

Your Ad Spot

Mar 22, 2011

5 STARS WAPATA AJALI; 13 WAFARIKI PAPO HAPO, MWANAHAWA ALLY ANUSURIKA

Wanamuziki 13 wa bendi ya muziki wa taarab ya Five Stars wamekufa  baada ya basi lao kugonga lori la mbao usiku wa kuamkia leo, katika eneo la Mikumi nje kidogo ya mji wa Mororogoro. Wanamuziki hao walikuwa wanatoka mjini Mbeya katika onyesho la muziki. Habari zilizopatikana Mwanahawa Ally ni miongoni mwa walionusurika.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages