Breaking News

Your Ad Spot

Apr 27, 2011

KATIBU Mkuu wa Chama cha Waandishi wa  Habari za Michezo Tanzania (TASWA)  Amir Mhando (kushoto),  akitangaza wanamichezo watakaochuana kuwania tuzo ya mwanamichezo bora 2010, LEO katika ukumbi wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF) mjini Dar es Salaam,. Kulia ni Mhazini  wa chama hicho Sultani Sikilo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages