Breaking News

Your Ad Spot

Apr 17, 2011

WASHINDI WA SIKU YA UWEZO WA VODACOM WAJIZOLEA MAMILIONI

Meneja Udhamini na Promosheni wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akifafanua jambo kwa wanafunzi wa Chuo Kishiriki cha Ualimu Chang’ombe DUCE jinsi mwanafunzi mwenzao Gaspary  Kasmiry aliyeshikilia hundi alivyoshiriki na kushindia kitita cha shilindi milioni kumi katika promosheni ya siku ya uwezo iliyoendeshwa na kampuni hiyo.
Innocent Joseph fundi seremala wa Mbezi Juu jijini akiwa ameshikilia hundi yake ya shilingi milioni kumi aliyokabidhiwa na Vodacom Tanzania baada ya kushiriki katika promosheni ya siku ya uwezo iliyoendeshwa na kampuni hiyo.
Meneja Udhamini na Promosheni wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa akimkabidhi hundi Yuda Joseph mfanyakazi wa dukani eneo la Kinondoni jijini kitita cha shilingi milioni kumi alichojishindia katika promosheni ya siku ya uwezo iliyoendeshwa na kampuni hiyo. Katikati anayeshuhudia ni Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kahude.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages