Breaking News

Your Ad Spot

Apr 15, 2011

WATANZANIA 64 WALA NONDOZZ UNIVERSITY OF MYSORE INDIA, APRIL 9, MWAKA HUUTAR.

Baadhi ya wahitimu hao wakiwa kwenye mahafali hayo
Wakipozi katika mahafali ya kupatwishwa nondozzz
Wakiwa na nyuso za furaha
Amani masue akisikiliza ujumbe kutoka kwa mgeni rasmi
Waliokula nondozzzz wakiwa  katika picha ya pamoja
Mdau Amani Masue amekula ndoozzz yake ya B.COM chuo kikuu cha university of mysore.
Mwinga akisoma risala kwa wageni walikwa wala nondozz
Wanameremeta

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages