Breaking News

Your Ad Spot

Jun 28, 2011

NAPE, ASHA 'MSHUA' WAMALIZA ZIARA MTWARA KWA KISHINDO, 154 WA CUF WATIMKIA CCM WAKATI WA MKUTANO MTWARA MJINI

Wazee wa kijiji cha Mpapura, Mtwara Vijijini wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliohutubiwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye katika kijiji hicho 28/6/2011 
Wanachama wa CCM wakishiriki kula kiapo katika mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika katika kijiji cha Mpapura, Mtwara Vijini mkutano huo ulihutubiwa na Nape. 
Mjumbe wa NEC, Oganaizesheni, CCM, Asha Abdallah Juma akimsaliia mtoto Hadija Juma,  wakati wa mkutano huo katika kijiji cha Mpapura. Asha pia alihutubia mkutano huo. 
Nape na Asha Abdallah Juma, wakitoka katika Ofisi ya Mbunge wa Lindi mjini 
Mamia ya wananchi wakishangilia katika mkutano wa hadhara aliohutubia Nape mjini Mtwara, 28/6/2011 
Nape akizungumza na mbunge wa Mtwara mjini, Hasnain Mohammed Murji wakati wa mkutano huo
Nape akipokea kadi ya CUF kutoka kwa mwanachana wa chama hicho, aliyeamua kuhamia CCM wakati wa mkutano huo wa Mtwara mjini. Kulia ni Katibu wa NEC Oganaizesheni Asha Abdallah Juma, akishuhdia. Jumla ya wanachama 154 wa CUF walihamia CCM wakati wa mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages