Breaking News

Your Ad Spot

Jun 11, 2011

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI ATUA NCHINI; NI BI HILLARY CLINTON

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marelani, Hillary Clinton akiwa na mwenyeji wake, Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe alipowasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mjini Dar es Salaam kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu hapa nchini. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages