Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2011

VODACOM YATUMIA 'SUPERMAN' KUNADI HUDUMA YA M-PESA

KAMPUNI ya Mawasiliano  ya Vodacom Tanzania imeipatia huduma yake M-PESA muonekano mpya kuendana na kaulimbiu ya 'kazi ni kwako' ambapo kuanzia sasa 'Super Man' ambae ni kielelezo maarufu duniani cha ujasiri, uhodari, kasi na  usalama kitatumika kuitangaza sokoni huduma hiyo. Pichani, Ofisa Mkuu, Masoko na Mahusiano wa Vodacom, Mwamvita Makamba akizungumza katika uzinduzi wa muonekano huo,leo katika hoteli ya  Kilimanjaro Kempinski, Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Fedha, Jacques Voogt na Mwamvita Makamba wakishikana na 'midori' ya Superman' wakati wa uzinduzi huo 
Baadhi ya waalikwa katika hafla hiyo wakiwa wamevaa vinyango vya 'Superman'

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages