Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2011

KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA DOM

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais, Dk Jakaya  Kikwete, akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM a leo katika ukumbi wa Makao Makuu ya Chama  Mjinji  Dodoma 
Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM ( Zanzibar), Vuai Ali Vuai, kabla ya kuanza  kikao  hicho.  
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, akisoma utaratibu wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya CCM  kilichofanyika leo, katika ukumbi wa CCM Makao Makuu Dodoma, (wa pili kulia) Mwenyekiti wa CCM, Taifa, Rais  Kikwete, Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Dk Amaan Abeid Karume, Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa  Kamatiu Kuu ya CCM Dk Ali Mohamed Shein, wakisikiliza kwa makini,taarifa zilizotolewa katika kikao hicho.(Picha na Ramadhan Othman Dodoma )

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages