Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2011

RISALA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN



Dk. Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, akisoma risala ya maalum ya kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kuwatakia wananchi kheri kati mfungo huo kwa salama na amani, pia kuwataka wajitahidi katika kufanya ibada kwa wingi na kuzidisha imani katika jamii. Mwezi wa Ramadhani unatarajiwa kuandama leo, (Picha na Ramadhan Othman wa Ofisi ya Rais, Ikulu Zanzibar)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages