Breaking News

Your Ad Spot

Aug 26, 2011

MTOTO WA JK APIGA GOZI NA TIMU YA TAIFA YA VIJANA YA U17

Khalfan Kikwete, mtoto wa Rais Jakaya Kikwete(kushoto) akijaribu kuumiliki mpira aliposhiriki katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17, kwenye Uwanja wa Karume Dar es Saalm, jana 
Khalfan (kushoto) akiumiliki pia mpira wakati wa mazoezi hayo 
Kipa wa timu hiyo Mwangata, akidaka mpira pamoja na mguu wa  Khalfan kuepusha bao 
Baada ya kunusrika kudakwa mguu Khalfan akaruka kuepusha 'ajali' 
Kocha Julio wa tomu hiyo akitoa somo kwa wacheza wakati wa mazoezi hayo, watatu kushoto ni Khalfan 
Hussein Ibrahim wa shule ya sekondari Usagara ya Tanga ambaye ni mchezaji wa timu hiyo, akipeana mkono baada ya mazoezi kuhu kocha mkuu wa timu hiyo, Kim Polsen akiwacheki kwa bashasha 
Kocha msaidi wa timu hiyo, Julio akitoa nasaha baada ya mazoezi. Kushoto ni Khalfani

1 comment:

  1. Yaani ina maana hao wachezaji wengine umeshindwa kabisa kuwatambua?.....wewe na Khalfani tu! Nomaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages