Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2011

MTOTO WANYOKA NI NYOKA?

 Mtoto wa kocha wa ngumi, Rajabu Mhamila, Zainabu Mhamila 'Ikota' akimtupia ngumi, Bondia Yohana Robert katika mazoezi ya kukuza vipaji vya mchezo huo yanayoendelea  katika Klab ya Ashanti, Ilala, Dar es Salaam.(Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/ ).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages