Wagombea Ubunge jimbo la Igunga, Dk Dalaly Kafumu -CCM (kijanai), Joseph Kashindye -CHADEMA (kaki) na Leopold Mahona-CUF (Bluu) wakipongezana baada ya mdahalo wao uliofanyika usiku wa kuamkia leo mjini Igunga.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Julius Ntatiro, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mwigulu Nchemba na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe wakiwa kwenye mdahalo huo.
Polisi akiwatuliza watu wenye munkari waliotaka kuvuruga mdahalo huo kabla ya kuanza

Mmoja wa wananchi waliohudhuria akiluza maswali wagombea wakati wa mdahalo huo
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269