Breaking News

Your Ad Spot

Sep 27, 2011

JK AREJEA NCHINI KUTOKA US

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete  akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda muda mfupi baada ya kuwasili kutoka New York Marekani ambapo pamoja na mambo mengine  alihutubia baraza la Umoja wa Mataifa.Kushoto no Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik(picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages