Breaking News

Your Ad Spot

Sep 22, 2011

CCM YAZIDI KUPENDWA IGUNGA, NYOMI YA WATU MKUTANO WA MWANZUGI KATA YA IGUNGA VIJIJINI YATIKISA

Nyomi ya watu kwenye mkutano wa kampeni za CCM eneo la Mwanzugi, Kata ya Igunga Vijijini, jana. 
   Mgombnea wa CCM, Dk. Dalaly Kafumu akihutubia  nyomi ya wananchi kwenye mkutano wa kampeni za CCM, eneo la  Mwanzugi Kata ya Igunga Vijijini, mkoani Tabora, jana.
    Mratibu wa kampeni za CCM Igunga, Mwigulu Nchemba akihutubia maelfu ya watu, kijiji cha Mwanzugi Kata ya Igunga Vijijini jana
 Khadija Kopa, Dk.Kafumu, Nchemba na Lusinde wakishambulia jukwaa.. 
    Khadija Kopa wa TOT akihamasisha kwenye mkutano wa CCM eneo la Mwanzugi . 
Mgombea wa CCM Dk. Kafumu akiwaaga wananchi baada ya mkutano huo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages