Breaking News

Your Ad Spot

Sep 22, 2011

MAANDALIZI TAMASHA LA KWANZA LA BIA TANZANIA

      Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager Bw. George Kavishe (katikati) akizungumza na     Waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana kuhusu Tamsha la Kwanza la Bia Tanzania lililoandaliwa na Kilimanjaro Premium Lager and Kampuni ya Bongo 5 mwezi ujao. Kushoto ni Mratibu wa Matukio wa Bongo 5, Olive Nimaga na kulia ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania, Dorris Malulu.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages