Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2011

JK AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA NA RAIS KIBAKI WA KENYA

Waziri Mkuu wa Australiua Julia Gillard mjini Perth wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Madola unaoendelea mjini Perth, Australia(picha na Freddy Maro)
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Kenya Mwai Kibaki wakati wa mkutano wa wakuu wa Ncxhi za Jumuia ya Madola Perth, Australia,(photo by Freddty Maro)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakisalimiana

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages