Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2011

MALKIA WA UINGEREZA AMKARIBISHA MNUSO JK

Malkia Elizabeth II wa Uingereza na Mumewe Philip Wakiwakaribisha Rais Dkt.Jakaya Kikwete, Mama Salma na wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola katika dhifa aliyoiandaa kwaajili ya viongozi hao wanaohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Perth,Australia(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages