Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2011

MATUMLA, MIYAYUSHO WAPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO KESHO

Na Mwandishi Wetu
Mabondia Mbwana Matumla 'Golden Boy' na Francis Miyayusho 'Chichi Mawe' leowamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Ubingwa utakaofanyikakatika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es salaam kesho jumapili OKCTOBA30.

wakizungumzawachezaji hawo kwa wakati tofauti baada ya kupima wamesema wapo tayarikuonesha mchezo mzuri wa ngumi na kuwapa raha zisizo na kifani kwasababu akuna kisingizio chochote kile kwa kua tumejiandaa vya kutosha

Lichaya mabondia hawo kupima uzito pia wamepima vipimo mbalimbali ususaniUkimwi, Mkojo kwa ajili ya kuangalia kama mabondia hao kama wanatumiamadawa ya kuongeza nguvu.

Pambano hilo kubwa litakuwa la 12 la uzito wa Bantam, ambapo kabla ya mpambano kutakua na mapambano mengine ya utangulizi.

Mapambanohayo ya kati ya Juma Fundi na Fadshili Majia, Mohamed Matumla naRamadhani Mashudu, Issa Sewe atazidunda na Ramadhani Shauli wakati kwaupande wa ngumi za wanawake Asha Nzowa (Asha Ngedere) atazichapa naSalma Kihobwa (mwajuma Ndalandefu)

Katika Mchezo huo kutakua naDVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutambua sheria zakembalimbali zitakazokua zikisambazwa na kocha wa mchezo huo RajabuMhamila 'Super D Boxing Coach' kwa ajili ya kuwapa mambondia mbalimbalimbinbu za mchezo na mashabiki kujua sheria za masumbwi.

Super Dalisema katika DVD hizo kutakuwa na mapambano mengi ambayo yanawezakutumika kama mafunzo muhimu kwa mabondia ,makocha marefa pamoja namashabiki wa mchezo kujua sheria mbalimbali.

'' Kuna mapambanokama ya akina Amir Khan, Manny Paquaio, Floyd Maywhether, David Haye,MOhamedi Ali pamoja na mtanzania Roja mtagwa anaefanya shughuli zakeMarekani,

DVD hizo ni nzuri na hata walio tayari tayali katikamchezo huo wanatakiwa kujua sheria na mafunzo ya ngumi manazinafundisha mambo mengi '' alisema Super D;

Super D Boxing Coach
Photojournalist at Majira, Business Times
Email.superdboxingcoach@gmail.com
www.burudan.blogspot.com
 Mob;+255787 406930
        +255774406938
        Po.Box. 15493
Dar es Salaam Tanzania

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages