Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2011

NAPE ATEMBELEA TAWI LA CCM HOUSTON-TEXAS

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (Katikati), akizungumza na viongozi wa CCM tawi la Houston, Texas alipotembelea tawi hilo akifuatana na Katibu Msaidizi Mkuu, Itikadi na Uenezi Sixtus Mapunda leo.
Nape na Sixtus wakiwa na viongozi wa CCM tawi hilo
Nape na Situs wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Halmashauri Kuu ya CCM ya tawi hilo la Houston-Texas leo, Nape na Six wapo nchini Marekani kwa ajili ya kozi fupi ya masomo ya uongozi katika chuo kimoja nchini humo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages