Breaking News

Your Ad Spot

Oct 31, 2011

MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO NA WANAJUMUIA WA TANZANIA HOUSTON NA NAPE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza katika mkutano na wanajumuia ya Watanzania mjini Houston, Marekani. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu, Itikadi na Uenezi Sixtus Mapunda na wengine ni viongozi wa CCM tawi la Houston
Six akijitambulisha kwa wanajumuia hao

Wanajumuai wakiwa kwenye mkutano huo

Wanajumuia wakimskiliza Nape kwa makini alipozungumza nao

Nape na Six wakiwa na kiongozi wa wanajumuia hao

Nape akaiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa CCM tawi la Houston na wanajumuia wengine waliohudhuria mkutano huo
Wkawa katika mapozi mbalimbali kama hivi

Nape akimbeba mtoto wa kiongozi wa tawi la CCM la Houston baada ya kupigapicha ya pamoja

Viongozi wa CCM wa tawi la Houston



No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages