Breaking News

Your Ad Spot

Oct 28, 2011

NAPE ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape  Nnauye akimsalimia Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mwanaidi Maajar, alipofika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania mjini Washington, DC. Kulia ni Ofisa Ubalozi huo Suleiman Saleh na Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu, Itikadi na uenezi CCM, Sixtus Mapunda.
Kisha Nape na Sixtus wakawa na mazungumzo na balozi Majaar
Nape akisalimiana na Ofisa Ubalizi Kitengo cha Uhamiaji Abbas Misana
 Sixtus Mapunda akisalimiana na Ofisa huyo
Nape akimsalimia Ofisa Ubalozi wa Tanzania Washington DC, Edward Masanja baada ya kusalimiana na Balozi msaidizi Marekani na Mexico Mama Mnanka (katikati).
Nape akimsalimia Ofisa Ubalozi Agnes Lusinde (Source: Issamichuzi Blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages