Breaking News

Your Ad Spot

Nov 26, 2011

KIRUMBE NG'ENDA AKIWA DODOMA BAADA YA KUVULIWA UKATIBU WA MKOA WA DAR

"Hakuna tatizo..sikuzaliwa na ukatibu,,,tena nimeshajenga...nikimpisha katibu mpya kwenye nyumba pale Dar nahamia kwenye nyumba yangu... usafiri pia ninao..isipokuwa mimi CCM ipo kwenye moyo wangu sikuipenda sababu ya kazi" alisema aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Kirumbe Ng'enda (katika) wakati akipozi picha na wadau wa CCM alipokutana nao mjini Dodoma jana akiwa katika mitikasi yake mtaani

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages