Breaking News

Your Ad Spot

Nov 26, 2011

SEMINA YA WATENDAJI WA CCM NCHI NZIMA INAYOENDELEA DODOMA

 Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama akijadiliana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) John Chiligati na Naibu (Zanzibar) Vuai Ali  wakati wa semina wa watendaji wa inayoendelea mjini Dodoma
 Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akitoa mada katika semina hiyo
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba akitoa mada kwenye  semina hiyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages