Breaking News

Your Ad Spot

Dec 17, 2011

RAIS AREJEA KUTOKA UGANDA

 Rais Jakaya Kikwete akiwa na mazungumzo na Makamu wa Rais Dr Mohamed Ghalib Bilal na Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda mara baada ya kurejea jijjini Dar es salaam kutoka Kampala, Uganda, alikohudhuria mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za maziwa makuu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages