Amirijeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi Mwenge wa Uhuru, Mkuu wa Majeshi ya Tanzania Jenerali Devis Mwamunyange ili naye awakabidhi viongozi watakaopeleka mwenge huo kwenye kilele cha mlima wa Kilimanjaro, sherehe za kuzima mwenge huo zilifanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.
Safu ya viongozi watakaopandisha Mwenge Mlima Kilimanjaro. (Picha zote na Ikulu)
Your Ad Spot
Dec 1, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269