Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2012

VIJANA MWANZA WAJINOA KWA AJILI YA GWARIDE LA 'KUFA MTU' KWENYE SHEREHE ZA KILELE CHA MIAKA 35 YA CCM

Vijana wa CCM kutoka wilaya zote za mkoa wa Mwanza , wakiwa katika siku ya pili ya mazoezi ya gwaride maalum la sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 35 ya CCM, leo kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, sherehe hizo pia zitafanyika Kitaifa katika Uwanja huo ambapo mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete
 Vijana wa CCM wakionyesha ukakamavu wao wakati wa mazoezi hayo leo
 Vijana wa CCM wakifanya mazoezi jisni watakavyokuwa wakitoa saluti kwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete wakati wa gwaride maalum watakalocheza siku ya kilele cha maadhimisho ya miaka 35 ya CCM, Jumapili ijayo, Februari 5, 2012
 Makamanda wa gwaride hilo nao wakifanya mazoezi kuhakikisha kwamba watakuwa hodari siku hiyo
 Kama kawaida hakuna gwaride bila brass band. Hawa vi vijana waliokuwa wakifanya mazoezi leo kwa ajili ya gwaride hilo la Februari 5, yaani Jumapili ijayo.
 Vikosi vya vijana hao vikiwa katika mazoezi ya kutembea katika gwaride leo
Kutokana na vijana hao kuweka kambi kwenye Uwanja huo ili kufanikisha maandaloizi yao hupata chakula na chai humo humo uwanjani. Hapa msosi unaandaliwa na vijana wenzao kwa ajili yao.

1 comment:

  1. free math problems for iv pharmacy technicians online http://sundrugstore.net/products/lynoral.htm hampton pharmacy school

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages