Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2012

KATIBU WA NEC YA CCM, OGANAIZESHENI CCM ASHA ABDALLAH JUMA KATIKA MATIBABU INDIA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Oganaizesheni, Asha Abdallah Juma 'Mshua'  akiwa na wauguzi wa Hospitali ya MIOT nchini India baada ya kufanyiwa matibabu ya mguu kwenye hospitali hiyo, Kiongozi huyo wa CCM ambaye alienda nchini India mwishoni mwa mwaka jana hali yake inaendelea vizuri.
  Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdallah Juma akiwa na  Profesa Mohandas, Mkuu wa Hospitali hiyo ya MIOT ( PICHA KWA HISANI YA  ASHA ABDALLA JUMA, INDIA).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages