Breaking News

Your Ad Spot

Jan 31, 2012

SAMWEL DANIEL NA KAINDI TARATIBU WAMEREMETA

Wakiwa na nyuso za furaha bwana harusi Samwel  Daniel  na mkewak e Kaindi  Taratibu wakiw a kwenye pozi la  picha baada ya kufunga ndoa yao katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kibaha hivi karibuni na kufuiatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbio wa Mbezi   Luxiry jijini Dar es Salaam.
 Bwana Harusi Samwel  Daniel  na mkewak e Kaindi  Taratibu wakiwa katika pozi la upendo 
Samwel  Daniel  na mkewak e Kaindi  Taratibu wakipozi mbele ya gari lao la harusi la kifahari
.  Bibi harusi akipita juu ya migongo ya wakwe zake wakati wa kuingia ukumbini ikiwa ni ishara ya kukaribishwa katika familia, kabila la Wayao .
Bwana harusi akipita juu ya migongo ya wazazi wake wakati wa kuingia ukumbini wakati wa harusi yake iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Luxiry jijini ,Dar es Salaam.utamaduni huu hufanywa na watu wa lindi kabaila la wayao. 
Makaka wa bwana harusi wakiwa katika picha ya pamoja wakisherehekea harusi ya mdogo wao .
Siwa wili tena ni mwili mmoja ,bwana harusi  Samwel akiwa na mkewa Kaindi wakishuka kutoka katika mlima kilimanjaro  uliopo eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam, walipokwenda kufanya utalii wa ndani.baada  ya kufunga ndoa yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Januari 28. (picha zote na Albert)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages