Breaking News

Your Ad Spot

Feb 23, 2012

ENZI ZA MWALIMU NYERERE

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na safu yake ya viongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwenye Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar enzi hizo. Kwa haraka haraka unaweza kuwaona Mzee Kawawa, Aboud Jumbe, Mzee Cleopa Msuya, Edward Sokoine, Dk. Salmin Amour na Dk. Salim Ahmed Salim.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages