Breaking News

Your Ad Spot

Feb 28, 2012

MAPOKEZI YA WAZIRI WA ZAMBIA NA BALOZI WA CONGO DRC KIGOMA

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Bi. Terezya Huvisa   na ujumbe kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Kigoma wakipokea wageni katika uwanja wa ndege wa Kipampa mkoani Kigoma, ambao ni Waziri wa Elimu ya Msingi na Mazingira wa Zambia Prof. Nkandu Luo  (wa pili kulia) na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Bw.khalfan Juma Mpango (wa kwanza kushoto). Ugeni huo upo Nchi kuhudhuria Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika.  (Picha na Ali Meja)

2 comments:

  1. Come to see us now to obtain more knowledge and facts regarding Come to see us contemporary to grasp more facts and facts in the matter of [url=http://www.papier-firmowy.com.pl]Papier firmowy[/url]

    ReplyDelete
  2. Visit us now to

    grasp more information and facts

    in the matter of Visit us

    at times to come by more

    information and facts in

    the matter of

    [url=http://www.aminokwasy.odzywki-sport.com.pl/aminokwasy-w-kulturystyce]Aminokwasy[/url]

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages