Breaking News

Your Ad Spot

Mar 28, 2012

KAMATI KUU YA CCM YAKETI LEO DAR

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, leo Ikulu mjini Dar es Salaam. Kushoto ni wajumbe wa Kamati hiyo wakimsikiliza. Pamoja na mambo mengine, kikao hicho kilitarajiwa kujadili wagombea wa ubunge Afrika Mashariki. (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages