Breaking News

Your Ad Spot

Mar 26, 2012

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM ZANZIBAR CHAFANYIKA JANA

Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,alipowasili viwanja
vya Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar jana kuhudhuria katika cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa,ya Zanzibar kilichofanyika katika ukumbi wa mikutamo wa Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.  

Baadhi ya wajumbe wa Kikao cha  Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM   Zanzibar, wakipitia makabrasha yenye agenda kabla ya kuanza kwa kikao hicho jana katika ukumbi wa mikutamo wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar


Mjumbe wa Kikao cha  Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM  Zanzibar, Asha Abdallah Juma, akiwasalimia wajumbe wenzake  kabla ya kuanza kwa kikao hicho jana katika ukumbi wa mikutamo wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.   {Picha zote na Ramadhan Othman Ikulu}

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages