Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimnaadi mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari, leo, eneo la Makumira ambapo idadi kubwa ya wanafunzi wanaosoma Chuo Kikuu cha Makumira walihudhuria mkutano huo
Nape akihutubia mkutano wa kampeni kumnadi mgombea wa CCM Sioi Sumari, jimbo la Arumeru mashariki wakati wa mkutano huo wa Makumira.
Wananchi ambao wengi wao ni kutoka Chuo Kikuu cha Makumira, wakimsikiliza kwa makini Nape alipohutubia mkutano huo.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269