Breaking News

Your Ad Spot

Mar 29, 2012

NAPE ATIA TIMU ARUMERU, AMNADI SIOI LEO

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimnaadi mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari, leo, eneo la Makumira ambapo idadi kubwa ya wanafunzi wanaosoma Chuo Kikuu cha Makumira walihudhuria mkutano huo
 Nape akihutubia mkutano wa kampeni kumnadi mgombea wa CCM Sioi Sumari, jimbo la Arumeru mashariki wakati wa mkutano huo wa Makumira.
Wananchi ambao wengi wao ni kutoka Chuo Kikuu cha Makumira, wakimsikiliza kwa makini Nape alipohutubia mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages